Up next

Ufunguzi wa Shule: Wauzaji wa vitabu wasema biashara imeathiriwa sana na Covid-19 | Kenya

39 Views· 05/11/21
Ambakisye-Okang Dukuzumurenyi
37

Wakati shule zinapozidi kufunguliwa, changamoto kama za usafiri zinashuhudiwa kote nchini. Maeneo ya katikati ya jiji la Nairobi, wanafunzi walikongamana kwenye vituo vya mabasi tayari kuelekea shuleni. Hata hivyo, wauzaji vitabu wanasema wazazi hawajitokezi. Na kwenye baadhi ya shule, ulipaji karo tayari una changamoto.

#Kenya #KTNNews #KTNPrime


SUBSCRIBE to our YouTube channel for more great videos: https://www.youtube.com/
Follow us on Twitter: https://twitter.com/KTNNews

Like us on Facebook: https://www.facebook.com/KTNNewsKenya

For more great content go to http://www.standardmedia.co.ke/ktnnews and download our apps:
http://std.co.ke/apps/#android




KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
Watch KTN Live http://www.ktnnews.com/live
Watch KTN News http://www.ktnnews.com
Follow us on http://www.twitter.com/ktnnews
Like us on http://www.facebook.com/ktnnews

Show more

 0 Comments sort   Sort By


Up next